bia tamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bia zimepanda bei

    Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
  2. Bia ya Pilsner yauzwa 1000 Bukoba, watu wamegaili kunywa soda, wanameza bia tamu.

    Wana JF Ukiwa Bukoba raha sana, wale ambao walikuwa wanagonga nyagi mwitu wameamia kwenye bia ya buku huku wakifurahia ujio wa kiwanda hiki mwanza, maroli na maroli yanamwaga bia bukoba, usije ukalogwa eti unataka kuwanunulia nyagi, hawataki kabisa. Hongela sana SBS kwa kuleta burudani...
  3. S

    Unasema bia tamu? Itakuwa hujaonja vitamu wewe!!

    Watu wakiambiwa wapige kura kuchagua kati ya kuchakatana na kunywa bia. Mm nitakuwa mmoja wa watu watakao chagua kuchakatana na tutapata ushindi mkubwa sana. Aliyesema bia tamu akafanye utafiti upya. Ndiyo maana hata bia ikikolea inamsukuma mtumiaji aende kuchakatana, hii inamaanisha kwamba...
  4. Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno. Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa . Kushindwa...
  5. Hivi inakuwaje wimbo wa ''Bia Tamu'' izidi nyimbo za akina Fid Q?

    Nawalaumu ma DJ, nakumbuka 2005 hadi 2009 bongo hip hop ilikuwa juu ma dj wali support mnoo,karibia radio zote walikuwa wanapiga hip hop conscious. Pongezi kwa Uncle Sam (RFA) ilikuwa kila ijumaa weekend fever alikuwa anatwanga hip hop za maana, Sheza (Hip hop base EATV), Saigon (Hip hop base...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…