biashara afrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Nimeamua kuachana na white collar jobs je? Ni Chuo kipi kinafundisha vizuri focal lift

    Wakuu Baada ya msoto wa miaka kadhaa bila michongo inayoeleweka Nimeamua kuweka pembeni vyeti vyangu vyangu. Sasa wakuu naomba msaada nitapata wapi Chuo kizuri wanachofundisha focal lift? Ada ni shingapi? na ni muda gani?
  2. Davidmmarista

    Kutoka Juice ya Miwa mpaka Magari 100 ya Mbao – Safari ya Mafanikio ya Chempa!

    Wadau habari za saa hizi ningependa Leo tusambaziane mawili matatu kuhusu biashara ambazo haziku dhaniwa lakini zimetoa watu. Aisee wakuu kuna wakati mwingine maisha yanakufundisha kwamba mafanikio hayachagui kazi, bali ni juhudi, uvumilivu, na akili ya kibiashara. Mimi na Chempa tulianza...
  3. Mindyou

    Kwa mara ya kwanza tangu ipate Uhuru, Senegal imeanza kuzalisha na kusambaza mafuta yake yenyewe! Tani 90,000 zazalishwa

    Wakuu, Kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru Senegal imeanza kusafisha mafuta ghafi ambayo yanazalishwa ndani ya nchi, ikifungua mlango mpya katika sekta ya nishati. Kampuni ya African Refinery Company (SAR), ambayo imekuwa ikifanya kazi tangu 1961, ilitangaza Alhamisi kuwa imefanikiwa...
Back
Top Bottom