Wadau habari za saa hizi ningependa Leo tusambaziane mawili matatu kuhusu biashara ambazo haziku dhaniwa lakini zimetoa watu.
Aisee wakuu kuna wakati mwingine maisha yanakufundisha kwamba mafanikio hayachagui kazi, bali ni juhudi, uvumilivu, na akili ya kibiashara. Mimi na Chempa tulianza...