Kwa mara ya kwanza duniani katika historia ya biashara ya kimataifa China limekuwa taifa la kwanza kuweka rekodi ya trade surplus ya $1 trillion
Kwa waliosoma commerce au economics wanakumbuka hizi terms mbili trade surplus na trade deficit
Trade surplus au ziada ya biashara ni kiasi ambacho...
Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.
-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.
My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
Watu wengi ambao wamekua wakiagiza bidhaa kutoka China, wamekariri majukwaa mawili tu…Yaaani AliExpress na Alibaba
Hii ni kwasababu, watu wengi hawapendi kusumbuka….
Ila ukwel ni kwamba, majukwaa haya mawili yaani AliExpres na Alibaba, ndani yake bidhaa nyingi ni bei juu(yaaani baadhi ni hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.