biashara china

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. X

    China yaweka rekodi mpya duniani katika biashara ya kimataifa mwaka 2024. Vikwazo vya kibiashara vya Marekani havina maana!

    Kwa mara ya kwanza duniani katika historia ya biashara ya kimataifa China limekuwa taifa la kwanza kuweka rekodi ya trade surplus ya $1 trillion Kwa waliosoma commerce au economics wanakumbuka hizi terms mbili trade surplus na trade deficit Trade surplus au ziada ya biashara ni kiasi ambacho...
  2. ChoiceVariable

    Kijana wa Kitanzania afungua biashara ya mabilioni nchini China

    Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa. -Anamiliki kampuni ya Logistics -Anamiliki Warehouses -Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea. My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
  3. N

    Kuchukua mzigo china kwa mtaji wa Tsh. Milioni 25

    Je ni biashara gani naweza kwenda kuchukua china na kuanzisha Tanzania mtaji wangu ni milioni 25 ninaitegemea pia kwa bajeti yote ya usafili
  4. Eddygotya

    Tukiachana na AliExpress, ipi umewahi kuitumia hapa?

    Watu wengi ambao wamekua wakiagiza bidhaa kutoka China, wamekariri majukwaa mawili tu…Yaaani AliExpress na Alibaba Hii ni kwasababu, watu wengi hawapendi kusumbuka…. Ila ukwel ni kwamba, majukwaa haya mawili yaani AliExpres na Alibaba, ndani yake bidhaa nyingi ni bei juu(yaaani baadhi ni hadi...
Back
Top Bottom