biashara kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chizcom

    Kwanini biashara kubwa ikifika level VAT kodi inapokuwa kubwa uzifunga au ubadilisha leseni na jina la kampuni au biashara.

    Ili swala sio geni kusikia kampuni au biashara nyingi zikipitia ili,Hapa nimeweza kuwapa sababu kuu zinazowafanya wafanyabiashara kufunga biashara zao au kubadilisha jina na leseni ya kampuni mara wanapofikia kiwango cha kulipa VAT ni pamoja na: 1. Mzigo Mkubwa wa Kodi • Kodi ya VAT ni...
  2. M

    Kama haupo vizuri kiroho ni ngumu ku-run biashara kubwa

    Wakuu ulimwengu wa biashara upo kiroho zaidi Ukiachana na kuwa smart kichwani Ila inabidi uwe vizuri kiroho. Nimefanya biashara kubwa nimejionea hili swala. Don't hustle in vain nigga Pray pray pray.
  3. Mike Moe

    Ndoa na talaka imekuwa biashara kubwa kwa wanawake

    Ndoa na talaka imekuwa biashara kubwa kwa wanawake nchini marekani, haimaanishi ukiolewa na tajiri ndio uondoke na mali zake punde mkiachana nataka nikomeshe tabia hii kwamba mkiachana kuna kiasi tu itabidi upewe na hakuna sababu ya kusema ni kidogo kwakua hukuhangaikia, kama unahisi huwezi...
  4. Mshana Jr

    Biashara haramu ndio biashara kubwa duniani

    Madawa ya kulevya yaweza kuwa yanaongoza Kisha inakuja ya kuuza silaha haramu Kusafirisha binafamu Bidhaa feki nazo ni top selling products.. Pombe zikiwa kinara Kwa Afrika wafanyabiashara mafia wanashirikiana na wanasiasa walioko madarakani Hawa wafanyabiashara wanatoa mitaji na nyenzo...
  5. M

    Biashara kubwa ya masikini ni kusambaza umbea usiomlipa ndiyo maana anazidi kuwa masikini

    Umaskini ni mfumo kama ulivyo utajiri hivyo ukiwa kwenye mfumo wa kimaskini utapata madili ya kimaskini tu ili uanze kupata michongo ya kitajiri sharti utoke kwenye mfumo wa kimaskini uhamie kwenye wa KITAJIRI UKIWA KWENYE MFUMO WA KIMASKINI MCHONGO PEKEE UTAOPATA NI WA KUSAMBAZA UMBEA UTAJIRI...
  6. ndege JOHN

    Mbaazi siku hizi ni biashara kubwa; ni kawaida kusikia kilo ni Tsh. 3000 na zaidi

    Watu ukiwaeleza unaona kama masihara embu jaribu kulima mbaazi uje ulete mrejesho hapa zao zuri kabisa palizi mara moja unafeli WAPI? OTESHA.
Back
Top Bottom