Una mtaji wa laki 2 mpaka million 2?
Hizi ni biashara ambazo unaweza ukafanya na zikakupa uhakika wa faida ya TSH 30,000_ laki kwa siku(1_3M kwa mwezi)
Wakati mwingine biashara nzuri sio Ile inayoonekana ya kifahari sana na decorations nzuri
Biashara ni mizunguko,faida💵.
Hizi biashara Zina...
Hii sijui niite ujinga ama ubinasfi au kukosa kabisa maarifa juu ya upendo wa nchi yako au kwa jamii yako kabisa?
Kuna hili sakata kwa sasa kwa wageni haswa wachina wamekuwa wengi sana hapa nchini na. Mbaya zaidi wanafanya kazi za wazawa tena zile za chini kabisa, nazungumzia umachinga
Unakuta...
Kuanza biashara na mtaji wa TSH 200,000/= katika mji kama Dar es Salaam inawezekana kwa kuchagua biashara ndogo ndogo ambazo hazihitaji mtaji mkubwa. Hapa kuna mawazo ya biashara ambazo unaweza kuanzisha:
1. Biashara ya Vyakula vya Mtaani
Samosa na Vitumbua: Unaweza kuanza kuuza vitafunwa kama...
Habari wanajami, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida.
Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au mbaya.
Dagaa wa nyasi.(wasio na mchanga)
Gunia yenye debe 10 kilo 40 (tsh180000/=-tsh260000/=.)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.