Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James ametoa siku 14 kwa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) wilayani humo kuhakikisha wanatimiza majukumu yao kisheria kuzuia vitendo vya mara kwa mara vya uvamizi wa hifadhi za barabara vinavyosababishwa na...
Kuna biashara zinaonekana ndogo lakini kipato chake kimechangamka
1. Miwa- hii inalipa sana
2. Karanga
3. Kahawa- faida X2
4. Fenesi- k/koo&sinza,
Niongezeeni nyingine, nahitaji kutoa ajira kwa wapambanaji zaidi.
Kuanza biashara na mtaji wa TSH 200,000/= katika mji kama Dar es Salaam inawezekana kwa kuchagua biashara ndogo ndogo ambazo hazihitaji mtaji mkubwa. Hapa kuna mawazo ya biashara ambazo unaweza kuanzisha:
1. Biashara ya Vyakula vya Mtaani
Samosa na Vitumbua: Unaweza kuanza kuuza vitafunwa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.