biashara ya bajaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    Ukijaza gesi ya Tsh. 6,000 kwenye Bajaji unapata faida ya Tsh. 50,000, ila kupata faida hiyo kwa Mafuta inabidi ujaze ya Tsh. 20,000

    Huenda umekuwa ukitumia usafiri wa Bajaji (pikipiki ya matairi matatu) na kudhani kuwa zote zinatumia mafuta ya petroli pekee. Hata hivyo, hali imebadilika! Sasa kuna Bajaji zinazotumia Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG), ambayo ni nafuu na yenye faida kubwa kwa madereva na wamiliki wa vyombo...
  2. buyoya419

    Biashara nzuri hapa ni ipi? Dereva wa bajaji au duka la vifaa vya umeme?

    Wakuu Nina milioni 8 hapa nimejichanga kwenye kazi za kuajiriwa,Mimi ni fundi umeme Sasa nataka nijiajiri mwenyewe mwenyewe nimefikia makubaliano kwenye biashara hizi mbili niendeshe maisha yangu Ninunue bajaji mpya niwe nabeba abiria kwenye vijiwe hivi vya mitaani au nifungue duka la vifaa...
Back
Top Bottom