Nimekuwa na shauku ya kuanzisha barbershop, au saloon ya kiume hata ya kike naipenda nikipata msimamizi maana mimi sijui hayo mambo ila naogopa maana mambo ya kuwindana kama tuko paredi hapana.
Saloon ya kiume kuna jamaa ananiambia ni biashara nzuri kama utapata site na kinyozi mzuri sijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.