Habari,
Nahitaji kijana wa kusimamia biashara ya hardware hasa katika';
Ku apply Tender katika mtandao wa nest
Ku tafuta masoko ya bidhaa zilizopo
Ku tafuta potential suppliers
Ku tuma sales and purchases report kupitia excel tool
etc
Biashara ipo kibaha, kwa mawasiliano tuma mail through...
Ndio maana wengi wanakimbia ukanda huu wa biashara
Unakuta unakosa nguvu na kuwa na variety nyingi dukani za kuvuta wateja wasiondoke kwa maana wasikose bidhaa fulani dukani kwako
Kwa hio kama unaingia katika sekta uwe vizuri financially, tofauti na hapo utakaa ndani unahesabu mabox.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.