Habari wanajanvi
Naomba niwapeleke Moja Kwa Moja kwenye lengo husika kama kichwa kinavyosema.
Kuna hii fursa ambayo sisi tumeona tuiite fursa mpya kutokana na uhitaji mkubwa ulionao na upatikanaji wake mdogo.
Baada ya kufanya tafiti na kutenga muda mrefu wa kujifunza kuhusu uwekezaji au...