Nimekuwa na shauku ya kuanzisha barbershop, au saloon ya kiume hata ya kike naipenda nikipata msimamizi maana mimi sijui hayo mambo ila naogopa maana mambo ya kuwindana kama tuko paredi hapana.
Saloon ya kiume kuna jamaa ananiambia ni biashara nzuri kama utapata site na kinyozi mzuri sijawahi...