biashara ya madawa ya kulevywa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Thabit Madai

    Mamlaka yatangaza kutaifisha mali za watuhumiwa wa dawa za kulevya Zanzibar

    MAMLAKA ya Kudhubiti na Kupambana na dawa za kulevya (ZDCE), imetangaza kutaifisha mali za watuhumiwa watatu wa dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 976 na kuwa na mali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Hatua imefikiwa baada ya Mamlaka hiyo kuendelea na operation...
  2. S

    Kwanini polisi haimkamati Mwijaku ili kupata undani wa tuhuma nzito dhidi ya Masoud zinazotishia usalama wa nchi?

    Mwijaku amemtuhumu Masoud Kipanya kuwa "anafanya biashara haramu inayoharibu vijana". Ametoa tuhuma hizi kwa mandishi kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tuhuma hizi ni nzito na zinatishia usalama wa nchi. Nilitegemea polisi kwa haraka sana wamkamate Mwijaku na kumhoji kwa undani...
Back
Top Bottom