MAMLAKA ya Kudhubiti na Kupambana na dawa za kulevya (ZDCE), imetangaza kutaifisha mali za watuhumiwa watatu wa dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 976 na kuwa na mali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Hatua imefikiwa baada ya Mamlaka hiyo kuendelea na operation...
Mwijaku amemtuhumu Masoud Kipanya kuwa "anafanya biashara haramu inayoharibu vijana". Ametoa tuhuma hizi kwa mandishi kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tuhuma hizi ni nzito na zinatishia usalama wa nchi.
Nilitegemea polisi kwa haraka sana wamkamate Mwijaku na kumhoji kwa undani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.