biashara ya madini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Shooter Again

    Biashara ya madini ni kichaa. Kaka yangu kapoteza milioni 120 mwezi huu nimemkuta ameshaanza kudata

    Aisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa Mbeya, aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa. Huwezi amini nipo hospitali maana broo kama akili zishaanza kuwehuka, vitu anavyoongea havieleweki aisee, haamini kama kafukia milioni 120. Nawashauri ndugu...
  2. Rajab20190423

    Biashara ya madini ya shaba

    Habari wadau Kuna mtu yoyote qnaejua biashara ya madini ya shaba kutoka zambia na kusqfieisha kwenye nji nyingine je utaratibu wake up upoje mwenye uelewa ndugu zangu nahitaji msaada
  3. C

    Biashara ya madini

    Habari wana JF Mwenzenu nna kitu leo natamani ku share na nyie wakuu mwenye mwanga au wazo juu ya hili nigependa kupata wazo ama ushauri. Mi natamani sana sana na ni ndoto yangu kubwa sana kufanya biashara ya madini hasa ya dhahabu naipenda sana hii biashara. Sasa challenge nilokuwa nayo ni...
  4. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mavunde: Apiga Marufuku Biashara ya Madini Kufanyika Majumbani Wilayani Tunduru

    “NI MARUFUKU BIASHARA YEYOTE YA MADINI KUFANYIKA MAJUMBANI WILAYANI TUNDURU – WAZIRI MAVUNDE” Apiga marufuku wageni kwenda kununua madini machimboni Aweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko la madini Asema wafanyabiashara wa madini Tunduru ni mfano wa kuigwa kwa kujenga Soko la madini kwa...
  5. The Sunk Cost Fallacy 2

    Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Mauzo Yatokanayo na Utajiri wa Madini Afrika.Tanzania Bado Tunajikongoja

    Kwa mujibu wa economic intelligence Afrika Ina Hifadhi ya asilimia 30% ya Madini mbalimbali Duniani. Kutokana hivyo ikabainisha Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Mauzo ya Madini mbalimbali kuanzia Mafuta,Dhahabu Hadi chumvi Kwa Wingi zaidi. Hata kwenye Dhahabu ambako tuandhani tuna utajiri ,hakuna...
  6. Nayna

    Biashara ya madini

    Ndugu zangu habarini naomba msaada Kwa ambao mshafanya kazi migodini Kuna kufaa kinatumika kuchimbia sehem ambayo ni ngum kinaitwa (Bamubamu) je ukiwa mlikii wa kufaa hiki faida zake ni nini na hasara zake ni zip ?? Msaada tafadhari hiki hapo chini ndio hicho kifaa nimejaribu kukidownlos
  7. MWEMZUNDU

    Jifunze biashara ya madini kwa kusoma kitabu hiki

    KWA HAPA TANZANIA Hakuna kitabu au documents yeyote ya kukuongoza wewe mgeni kufanya biashara ya KUNUNUA MADINI zaidi ya kitabu hiki cha MWONGOZO wa biashara ya kununua madini ni HAKUNA. Kinauzwa tsh 20,000/= kinapatikana dar es salaam katika bookshop ya TPH POSTA na kama upo mkoani wapigie tu...
  8. Jay_255

    Mwongozo wa kuanza biashara ya madini A - Z

    Kwa wale wanaohitaji kufaham kinagaibaga biashara ya madini kitabu hiki kitakupa mwanga wa wa kujua yafuatayo 1.Aina za madini na mahali yanapopatikana nchini Tanzania 2.Bei ya madini sokoni na yanauzwaji 3.Jua namna ya kupata leseni za uchimbaji wa madini , ununuaji wa madini na usafirishaji...
  9. mcrounmj

    Mrejesho biashara ya madini 'third season'

    Salam zangu na zisambae kwenu nyote. Matumaini yangu mu buheri wa afya tele, na hata walioteteleka mwenyezi Mungu awajaalie wepesi wa kupona haraka. Ahadi ni deni. Nami tangu nimeanza mbio zangu za kibiashara kwenye madini ya Dhahabu nimekuwa na tendency ya kuripoti wapi nimefikia kila baada ya...
  10. mcrounmj

    Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

    Wadau poleni na swaumu mulio katika mfungo wa mwezi wa Ramadhani. Napenda kujulishwa kwa mwenye uzoefu biashara ya dhahabu inalipa vipi kwa mtaji wa million 5, tahadhali za kuchukua dhidi ya utapeli, vibali vya biashara na maeneo ambayo yako suitable kwa hiyo biashara. Natanguliza shukrani...
Back
Top Bottom