Ni biashara ambayo huwa naifanya kipindi ambacho game ya mpira toleo jipya likitoka, silaha kuu ni kujitahidi kuwa mtu wa mwanzo kabisa kumiliki mali, inasaidia sana kufahamika kirahisi na kuweka bei unazotaka.
msimu uliopita niliingiza faida milioni 3 kwa wiki kama 3, ubaya wa hii biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.