Kuuza nguo mtandaoni ni mojawapo ya fursa kubwa za biashara zinazochipukia kwa kasi nchini Tanzania. Ukuaji wa teknolojia na ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, na WhatsApp umefungua milango kwa wajasiriamali wengi kuanzisha maduka ya mtandaoni. Hapa chini ni...
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽
1 kwa 1 kwenye mada yangu kama vile kichwa kinavyosema.
Najua una HAMU ya kujua wabongo wengi hufanya kosa gani ktk biashara huko ONLINE.
Binafsi, nmepita katika mitandao mingi ikiwemo x (Instagram) na Facebook. Ktk mitandao hiyo
wabongo wengo wamekuwa wakifanya...
Kwenye dunia ya sasa, watu wanatumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii. Kutoka Instagram, TikTok, hadi Twitter, mitandao imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Lakini siyo tu sehemu ya kuburudika au kuwasiliana na marafiki. Mitandao ya kijamii ni biashara kubwa, na kama...
Habari za wakati huu wana jf , niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu ni kushare kilichonikuta leo.
kuna mtu mmoja alinicheki anaitaji kilo 30 za mchele alikuwa mbali na sehemu ninapouzia ko anaitaji free delivery nikasema sawa , tukakubaliana vizuri ukifika analipia , picha linaanza...
Specification ya lenovo Laptop
Window 10 pro,
Processor core i5,
Hard disk,
Storage 300GB,
Ram 8GB
Hali yake ni imara na charger inadumu kwa masaa mengi nicheck 0624000771
Kama unamiliki kampuni Iliyosajiliwa na una website yeyote ya mauzo mtandaoni. Unaweza ukaendelea kusoma.
Kwa wale wenye website tunajua kuwa, tatizo kubwa lililopo kwa sasa ni mfumo wa malipo.
Mifumo ya malipo iliyopo haimruhusu mtanzania kuweza kutumia tovuti yako. Na kufanya manunuzi ya kitu...
Unahisi kuna lugha ngapi duniani?
6,500-7,117.
Tena hizi ni zile zinazojulikana na zikiwa kwenye hatari ya kupungua.
Vipi kuhusu zile ambazo hazijulikani?
Wewe je unajua na kuzungumza lugha ngapi mbali na Kiswahili, Kiingereza na lugha ya kabila yako (Kilugha)?
(Washiriki wa mafunzo ya...
Dunia ya sasa biashara za mitandaoni ni kubwa mno na hazina mipaka
Waweza uza chochote mitandaoni
Njia ya malipo ya haraka ya kupokea pesa mitandaoni ni njia ya Paypal ikiruhusiwa itafungua ajira nyingi mno
Wabunge tunaomba mtusaidie kwa hili kutuulizia bungeni
Napenda kuishauri serikali iunde chombo cha kusimamia biashara za mtandaoni ili kuziboresha na kupanua wigo wa walipa kodi.
Binafsi mimi ni mfanyabiashara wa online, kwa uzoefu wangu kufanya biashara online naweza kusema ni sehemu nzuri ya kufanyia biashara na inafanya iwe rahisi sana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.