biashara za mitandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. youngkato

    Jinsi ya Kuanza na Kufanikisha Biashara ya Kuuza Nguo Mtandaoni kwa Mazingira ya Tanzania

    Kuuza nguo mtandaoni ni mojawapo ya fursa kubwa za biashara zinazochipukia kwa kasi nchini Tanzania. Ukuaji wa teknolojia na ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, na WhatsApp umefungua milango kwa wajasiriamali wengi kuanzisha maduka ya mtandaoni. Hapa chini ni...
  2. Shuku_

    Wabongo wanaofanya biashara online wengi wao wanafanya kosa hili

    Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 1 kwa 1 kwenye mada yangu kama vile kichwa kinavyosema. Najua una HAMU ya kujua wabongo wengi hufanya kosa gani ktk biashara huko ONLINE. Binafsi, nmepita katika mitandao mingi ikiwemo x (Instagram) na Facebook. Ktk mitandao hiyo wabongo wengo wamekuwa wakifanya...
  3. Last_Joker

    Mitandao ya Kijamii Kama Zana au nyenzo bora ya Biashara: Jinsi ya Kutengeneza Kipato Kupitia Followers

    Kwenye dunia ya sasa, watu wanatumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii. Kutoka Instagram, TikTok, hadi Twitter, mitandao imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Lakini siyo tu sehemu ya kuburudika au kuwasiliana na marafiki. Mitandao ya kijamii ni biashara kubwa, na kama...
  4. Wakusolve

    Jinsi ya kuepuka utapeli katika bashara za mitandaoni

    Habari za wakati huu wana jf , niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu ni kushare kilichonikuta leo. kuna mtu mmoja alinicheki anaitaji kilo 30 za mchele alikuwa mbali na sehemu ninapouzia ko anaitaji free delivery nikasema sawa , tukakubaliana vizuri ukifika analipia , picha linaanza...
  5. D

    Computer4Sale Lenovo Laptop inauzwa bei 300,000

    Specification ya lenovo Laptop Window 10 pro, Processor core i5, Hard disk, Storage 300GB, Ram 8GB Hali yake ni imara na charger inadumu kwa masaa mengi nicheck 0624000771
  6. sokoniinc

    Je unajua kuhusu hili? Ugunduzi mpya wakitaalam mfumo wa malipo kwenye tovuti yako kwa wale wenye kampuni iliyosajiliwa

    Kama unamiliki kampuni Iliyosajiliwa na una website yeyote ya mauzo mtandaoni. Unaweza ukaendelea kusoma. Kwa wale wenye website tunajua kuwa, tatizo kubwa lililopo kwa sasa ni mfumo wa malipo. Mifumo ya malipo iliyopo haimruhusu mtanzania kuweza kutumia tovuti yako. Na kufanya manunuzi ya kitu...
  7. M

    Ni suala la muda tu

    Unahisi kuna lugha ngapi duniani? 6,500-7,117. Tena hizi ni zile zinazojulikana na zikiwa kwenye hatari ya kupungua. Vipi kuhusu zile ambazo hazijulikani? Wewe je unajua na kuzungumza lugha ngapi mbali na Kiswahili, Kiingereza na lugha ya kabila yako (Kilugha)? (Washiriki wa mafunzo ya...
  8. YEHODAYA

    Wabunge tusaidieni kuiuliza serikali ni lini itaruhusu mfumo wa kupokea pesa wa biashara za mitandaoni wa Paypal?

    Dunia ya sasa biashara za mitandaoni ni kubwa mno na hazina mipaka Waweza uza chochote mitandaoni Njia ya malipo ya haraka ya kupokea pesa mitandaoni ni njia ya Paypal ikiruhusiwa itafungua ajira nyingi mno Wabunge tunaomba mtusaidie kwa hili kutuulizia bungeni
  9. Mtini

    Serikali iunde chombo cha kusimamia biashara za mitandaoni ili kuziboresha na kupanua wigo wa walipa kodi pamoja na kuboresha huduma za posta

    Napenda kuishauri serikali iunde chombo cha kusimamia biashara za mtandaoni ili kuziboresha na kupanua wigo wa walipa kodi. Binafsi mimi ni mfanyabiashara wa online, kwa uzoefu wangu kufanya biashara online naweza kusema ni sehemu nzuri ya kufanyia biashara na inafanya iwe rahisi sana kwa...
Back
Top Bottom