Wakuu Mr. Price yamewashinda kwa mara nyingine tena, wanafunga duka moja kwa moja.
Pia soma: Nakumat yainunua Shoprite Tanzania
Mazingira ya biashara bongo ni magumu sana au wenyewe ndio ndio wazinguaji?
Ilianza Shoprite wakabwaga manyanga, Game ikaangukia pua na sasa Mr. Price wamebwanga...
Habari zenu wanajamvi?
Hivi ni sahihi kwa baadhi ya taasisi za serikali kuchaji gharama zao kwa kutumia Dola badala ya Shilingi ya Tanzania(Tsh)?
Mfano: Air Tanzania kwa safari za ndani, ukiingia kwenye website ya kufanya booking wameweka nauli zao kwa Dola badala ya Tsh, hii ni sawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.