biashara za ndani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Mr Price wanafungasha virago, yamewashinda?

    Wakuu Mr. Price yamewashinda kwa mara nyingine tena, wanafunga duka moja kwa moja. Pia soma: Nakumat yainunua Shoprite Tanzania Mazingira ya biashara bongo ni magumu sana au wenyewe ndio ndio wazinguaji? Ilianza Shoprite wakabwaga manyanga, Game ikaangukia pua na sasa Mr. Price wamebwanga...
  2. lopinavir

    Matumizi ya Dola kwa katika biashara za ndani ni sawa?

    Habari zenu wanajamvi? Hivi ni sahihi kwa baadhi ya taasisi za serikali kuchaji gharama zao kwa kutumia Dola badala ya Shilingi ya Tanzania(Tsh)? Mfano: Air Tanzania kwa safari za ndani, ukiingia kwenye website ya kufanya booking wameweka nauli zao kwa Dola badala ya Tsh, hii ni sawa?
Back
Top Bottom