biashara za niffer

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 4

    Niwaombe serikali pima , chunguza ,then mkanye , Niffer wenda kesho akawa msaada mkubwa katika taifa hili

    Sitokua na maneno mengi, ila pamoja heshima zenu kuzingatiwa , nitambue wana jf popote walipo kila mmoja kwa imani yake , Mungu akawe juu yenu. Poleni na janga la ghorofa Kariakoo ambalo limepelekea kuwapoteza ndugu zetu baadhi na Mungu Mwema atawapumzisha pale panapostahili. Rejea kichwa...
  2. Waufukweni

    Steve Nyerere amvaa Niffer kwa kumjibu Waziri Mkuu kwa kuchangisha maafa ya Kariakoo

    Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Steven Nyerere, ameonyesha kutoridhishwa na hatua ya mfanyabiashara Niffer kumjibu Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, kupitia mitandao ya kijamii. Hii ilitokea baada ya Niffer kuitwa kituo cha polisi kwa mahojiano kufuatia kampeni yake ya kuchangisha...
  3. Waufukweni

    Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

    Mfanyabiashara maarufu Jennifer Jovin, anayefahamika kama Niffer, ametoa majibu yake baada ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, kumtaja katika hotuba yake ya hadhara akitaka afuatiliwe na kueleza nani aliyempa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia ajali ya...
  4. kimsboy

    Utajiri wa Niffer unatisha! Anatembelea Range ya milioni 160

    Ni binti mdogo wa miaka 25 tu. Lakini kwa sasa anamiliki maduka mengi tu hapa mjini Pia anamiliki Niffer Mall Pia anamiliki ndinga kali za Gharama kama RangeRover Sport, RangeRover Evoque, na Range Rover vogue kwa sasa ya milioni 160 wakati mimi ndo kwanza nina Nissan duals[emoji23] Huyu ni...
  5. Tajiri wa kusini

    Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

    Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo. Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa...
Back
Top Bottom