biashara za umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Matumizi ya Dola kwa katika biashara za ndani ni sawa?

    Habari zenu wanajamvi? Hivi ni sahihi kwa baadhi ya taasisi za serikali kuchaji gharama zao kwa kutumia Dola badala ya Shilingi ya Tanzania(Tsh)? Mfano: Air Tanzania kwa safari za ndani, ukiingia kwenye website ya kufanya booking wameweka nauli zao kwa Dola badala ya Tsh, hii ni sawa?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…