Hii nimeona niizungumze kwa kiasi.
Utakuta mtu anahifadhi application ya Biblia au kitabu takatifu chochote kulingana na imani yake lakini amehifadhi pia picha za utupu au mambo yasiyofaaa.
Hii ni sehemu ya laana kwako, jaribu kuepuka haya.
Ni nayo tu wandugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.