bilioni 11

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Bilioni 11 kununua taa tu?

    Great thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
  2. Bilioni 11 zimetengwa ujenzi wa Shule 10 za Michezo

    BILIONI 11 ZIMETENGWA UJENZI SHULE 10 ZA MICHEZO Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo chini ya Makamu Mwenyekiti Mhe. Musa Sima imepokea na kujadili taarifa kuhusu maendeleo ya Sekta ya Michezo ikiwemo ujenzi wa Shule 56 za michezo nchi nzima, ambapo umeanza na Shule 10...
  3. Manji anaidai Yanga Bil 11. Nchunga alipiga Kambi Brazil na Yanga mwez na akaondoka ameacha Mil 400

    Udhamini wa manji yanga unaleta maswal mengi sana. Na maswal yanakuja zaidi kwa kuwa wote wamekataa kufikiri wamemwachia manji na akilimali tu. Manji yeye ni kila kitu. Kwa lolote analotaka linakuwa.akisema flan asiwe mwanachama ghafla mtu huyo anapoteza uanachama. Manji anapofika kwenye kikao...
  4. Saa 10 za gharama kubwa duniani, ya bei ndogo ni Tsh. Bilioni 11.7 aliyopewa JAY-Z na mkewe Beyonce

    Kwa mujibu wa Mtandao wa KRONOS 360, Hizi saa ndio zinaongoza kwa kuuzwa gharama kubwa kwenye minada duniani. Kumbuka ni kati ya saa zilizotengenezwa kwa oda maalumu au chache. Hivyo sio rahisi kuzipata madukani. 1- Graff Diamonds - Hallucination - Tsh. Bilioni 128.7 2. Chopard – 201 carats -...
  5. Rick Ross atumia Tsh. Bilioni 11 kubadili Sakafu ya Jumba lake

    Rapa na Mfanyabiashara William Leonard Roberts II a.k.a 'Rick Ross kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshare video ikionesha mabadiliko aliyofanya kwenye Sakafu ya Jumba lake la kifahari kwa kuweka Marumaru 'Tiles' mpya kutoka Italia. Rick Ross alinunua jumba hilo kwa zaidi ya Tsh. Bilioni...
  6. Bilioni 11 zawekezwa NSSF na Benki ya Maendeleo (TDB) kuhamasisha ukuaji wa sekta ya biashara katika nchi za ukanda wa Afrika mashariki

    Takribani shilingi bilioni 11 zimewekezwa katika Shirika la Taifa (NSSF)kuhamasisha ukuwaji wa sekta ya biashara katika nchi za ukanda wa Afrika mashariki na Benki ya Maendeleo (TDB). Uwekezaji huo unalenga kupanua wigo wa benki na kuongeza upatikanaji wa fedha kwa wanachama wake ambao...
  7. Tsh. Bilioni 11.5 bado zinamsubiri mwenye taarifa za Joseph Kony

    Kupitia taarifa ya Mpango wa Tuzo za Uhalifu wa Kivita, Marekani imewahimiza wananchi kutoa taarifa muhimu zitakazowezesha kukamatwa kwa Kony anayesakwa kwa zaidi ya miaka 15. Joseph Kony na wanamgambo wake wanatuhumiwa kuwateka nyara watoto na kuwatumia kama wapiganaji na watumwa wa kingono...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…