bin laden

  1. Chizi Maarifa

    Osama Bin Laden hakuuawa! Miaka zaidi ya 10 sasa

    Nakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake? Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao...
  2. I

    Je, mtoto wa nyoka ni nyoka? Mtoto wa Osama Bin Laden atakiwa kuondoka nchini Ufaransa

    Serikali ya Ufaransa imemuamuru Omar bin Laden, mtoto wa kiongozi aliyeuawa wa Al Qaeda Osama bin Laden, kuondoka nchini humo kutokana na machapisho yake kwenye mitandao ya kijamii. Waziri mpya wa mambo ya ndani wa Ufaransa Bruno Retailleau, ameandika kwenye mtandao wa X kwamba mtoto huyo wa...
  3. Mjanja M1

    Unalijua hili kuhusu mtoto wa Osama bin Laden

    Je wajua? Omar bin Laden, mtoto wa nne wa Osama bin Laden, ni msanii na mwandishi, na sanaa yake inaonyeshwa nchini Ufaransa, ambako anaishi.
  4. Cecil J

    Facebook bado wanaona jina "Bin laden" kama (u)gaidi!

    ..
  5. clifford20

    Historia ya Osama Bin Laden

    Historia ya Osama bin Laden ni moja ya vyanzo vikubwa vya utata na machungu katika historia ya kimataifa, hasa kutokana na kiongozi huyo kuwa mwanzilishi na kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda. Hapa ni muhtasari wa historia ndefu ya Osama bin Laden na matukio muhimu duniani yanayohusiana...
  6. Chizi Maarifa

    Mtoto wa Osama Bin Laden apasua Ukweli. Asema hawaamini USA na pia kuna mambo yalimkwaza kwa baba yake

    Waislamu si ruhusa hata kunuswa na Mbwa inakuaje huyu Osama alifuga Mbwa? Osama Bin Laden alikuwa na Ajenda gani akaone atumie Dini kuzikamilisha? Sisi Wa kristo wa Masaki na Waislamu wa Buza huwa tunapelekeshwa tu katika mambo haya. ====== Mtoto wa Osama Bin Laden, Omar Bin ambaye wakati...
  7. mugah di matheo

    TRUMP: Osama bin Laden hajafa (16/10/2020)

    Trump kupitia twitter amesambaza video yenye ujumbe huo ambayo imepingwa sana na watu. Wewe unaonaje? === Trump-supporting Navy SEAL fumes after the president pushes fake news about Osama bin Laden killing President Donald J. Trump signs an Executive Order on Protecting American Monuments...
  8. Sam Gidori

    Kitabu kipya cha Obama kinatarajiwa kutoka Novemba 17, nakala milioni 3 zimeagizwa kuchapishwa

    Kitabu cha Rais wa zamani wa Marekani kitakuwa mitaani siku chache baada ya uchaguzi wa Novemba 3, kwa mujibu wa taarifa ya Kampuni ya Penguin Random House mchapishaji wa kitabu hicho, iliyotolewa siku ya Alhamisi. Kitabu hicho chenye kurasa 768 kilichopewa jina "A Promised Land" ama Nchi ya...
Back
Top Bottom