binadamu na mitazamo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Unamshauri nini mtu aliekosa mawazo mapya ua fikra mbadala dhidi ya hoja mbalimbali kisiasi, kijamii au kiuchumi zinazo wasilishwa humu jukwaani?

    Kwa hekima na busara akae tu kimya na kujifunza kufuatilia kwa umakini maoni na mitazamo ya wengine, huenda akajifunza na kuongeza ufahamu na uelewa wa masula hayo muhimu yanayoweza kumsaidia huko mbeleni? Ama apumzike au kuendelea na shughuli zake nyingine, huenda akatumia muda wake vizuri kwa...
  2. Binadamu na mitazamo yao, sisi na maisha yetu

    Jioni moja tulivu, siku ya tarehe 16 Mwezi wa 8 mwaka 1920 katika mji wa Andernach, Germany kilisikika kilio cha mtoto mdogo wa kiume ambae ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuja duniani. Mtoto huyo alikuja kuwa Mfasihi na mwandishi bora wa mashairi wa kiamerika na kujishindia tuzo mbali mbali za...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…