Age:18 yrs old,
Salary atakayo ni 80k kuendelea. Awezacho ni kulea mtoto, watoto, wazazi wa watoto hao au kuuza duka.
Maelezo mengine ni inbox wapendwa
Habari wana jamvi,..baada ya kutoa ya moyoni kuhusu Yule binti wa kazi ambae nilikuja kuthibitisha kuwa Ni miathirika wa ugonjwa huu unaosumbua dunia...nimesoma comments zenu ambazo zilikuwa na maoni mengi
Ambayo yamenisaidia Sana katika kufanya maamuzi ,..binti nimemrudisha kwao japo hakujua...
Chombezo : Beki Tatu Mcharuko Sehemu Ya : Kwanza (1)
“Shogaa yule mfanyakazi nimeshampata ni wewe tu uje kumchukua maana kadada kenyewe kamekaa kazungukazungu kasije kuniibia mume haka.”
“Mhhh! Uzungu huo vipi, kwahiyo ndo umenitafutia huyo aje kuwa mke mwenzangu au? Kwani amna wadada wengine...
Habari zenu jamani. Natafuta Binti wa kazi, Eneo ni Dar es salaam (Mbweni) ! Binti awe na uwezo wa kusoma na kuandika, umri kuanzia miaka 18. Kazi ni ya kuish hukuhuku na nyumba haina watoto. Mshahara maelewano.
0692917101 (call or whatsap tu)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata na linamshikilia Selemani Haruna maarufu Kwata (24), Mkazi wa Kimara Temboni mtaa wa Amani, kwa tuhuma za kumuua Editha Charles (22) Mkerewe, Binti wa kazi za ndani na kuuficha mwili huo katika stoo ya vifaa vya ujenzi katika nyumba ya...
Naitaji binti mdogo kutoka Tanga
Sifa zake
Ajue kuendesha Bodaboda
Ajue kupika bites zote
Ajue kusoma na kuandika
Majukumu yake
Kusafisha nyumba na mazingira
Kufua na kupika sometimes nyumba ina mke na Mume tu
Kulisha mbwa na kuku sio wengi na Bata bukini 4 tu
Kutengeneza bites za kuuza maduka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.