Wajomba mambo vipi, aisee mimi sio mwandishi mzuri sana ila leo naomba niwapitishe kidogo kwenye hii "BITTER TRUTH" . ndio, ni ukweli mchungu especially kwetu sisi Scholars (wenyewe tunajiita wasomi😁) ila sisi!! anyways.
Siku za nyuma nimekua nikifanya Funny stories ila hii ya leo ni serious...