block

A block of the periodic table is a set of elements unified by the orbitals their valence electrons or vacancies lie in. The term appears to have been first used by Charles Janet. Each block is named after its characteristic orbital: s-block, p-block, d-block, and f-block.
The block names (s, p, d, and f) are derived from the spectroscopic notation for the value of an electron's azimuthal quantum number: sharp (0), principal (1), diffuse (2), or fundamental (3). Succeeding notations proceed in alphabetical order, as g, h, etc.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Adui mkubwa wa mwanadamu ni mawazo yake ( Mental block chain)

    Hapa kuna mpangilio mzuri zaidi wa maandishi yako kwa mtiririko mzuri na uwazi: Nguvu ya Hofu na Sanaa ya Kubadilisha Nishati The Keeper Don Pablo – The Master of The Mind Brotherhood Kumtawala mwanadamu, mpandikie hofu ndani yake, na utateka akili yake yote. Hofu ni nguvu kubwa zaidi...
  2. COMORIENNE

    CONCRETE BLOCK MOULDS

    Habari wakuu, ninauliza naweza pata wapi hizi concrete block moulds kwa hapa Tanzania? Ahsante, Natanguliza shukran.
  3. R

    Mwaka mpya na mambo mapya JF: Nitawa-unblock wote niliowa-block nikitegemea nao watabadilika na kuwa waungwana katika maandiko yao JF

    Nina list ndefu. Tuanze 2025 na UUNGWANA zaidi katika kuwasilisha mada zetu na kujibu mada za wengine kiungwana bila matusi, dharau and the like. 2025 MOTTO: USICHOPENDA KUTENDEWA USIMTENDEE MWENZAKO. BY THAT PRINCIPLE, KILA MMOJA WETU AKIISHIKA, TUTAKUWA WATU WEMA THROUGHT 2025. Nawatakia...
  4. K

    Nyumba Tanga-Kange Block 25mln inauzwa!

    Habari, nauza nyumba na Mimi ndio mhusika,ipo Tanga mjini,Kange Area block D. Nyumba ina vyumba vitatu, viwili ni self contained na cha 3 ni master bedroom,ina varandq(sitting kubwa) dinning na kitchen. Niliweka magrili na wiring baada ya ujenzi,ujenzi ulizingatia uimara kwa kuweka msingi wa...
  5. Olaw2jr

    USHAURI: Beam & Block Slab - Gharama na Mafundi

    Habarini Nina mradi wa nyumba na ninahitaji ushauri kuhusu beam and block slab. Ningependa kujua: Gharama ya kuweka beam and block slab kwa eneo la takriban mita za mraba 160 Uzoefu wenu na aina hii ya slab - ubora wake na changamoto zake Mapendekezo ya mafundi wazuri wenye uzoefu na kazi hii...
  6. Bemendazole

    Nimetoka kukilamba block kitoto cha 2000!

    Kilikuwa kinapenda kula vijisenti vyangu ila mzigo kinabana. Kwenye maslahi kuna majukumu. Vyangu kale bure vya kwake agome kutoa why? Nimekalamba block kasinizoee kabisa.
  7. Candela

    Wameblock telegram? Bila VPN haifanyi kazi

    Kwa tupangieni content na sio na watu wazima? Kisheria mtoto harusiwi kuwa na simu sasa kutuzimia huduma maana yake nini? Kama wanahofia watoto wana simu hayo waachie wazazi wao.
  8. MamaSamia2025

    Hawa ndiyo vinara wa kutembeza block mitandaoni ukiwa kinyume na mawazo yao

    Ukiwa umewa-follow hakikisha hau-comment chochote kilicho kinyume na mawazo yao. Inatakiwa usapoti au upige kimya. Kwenye platforms zao mawazo mbadala hayatakiwi. Followers wao wapo kusifu na kuabudu tu. 1. Malisa GJ 2. Maria Tsehai 3. Wakazi 4. Martin Maranja 5. Nape
  9. cold water

    Nashindwa Kum - block na kum - unblock X (mpenzi wa zamani) moja kwa moja

    Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja. Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view! Mtoto anaishi nae.
  10. Abtali mwerevu

    Dora Block: Mateka wa Israel Aliyesahaulika Entebbe

    Jina ni Dora Bloch na siyo Dora Block kama ilivyoandikwa katika kichwa cha habari hapo juu. Na: Mwalimu Makoba Mapema tarehe 28 mwezi Juni mwaka 1976, ndege ya Air France ilitekwa na kikundi cha Popular Front for the Liberation of Palestine na kuilazimisha ndege hiyo itue katika uwanja wa...
  11. Mathanzua

    The growth of BRICS by inviting new members is welcome, but the block needs to be careful

    The growth of BRICS by inviting new members is a welcome development,but the block needs to be carefully because the West may use members to sabotage it. 24 Aug, 2023 The 15th BRICS Summit in South Africa has finally concluded but a lot of murmurs are making their way through the media. Most...
  12. M

    Malisa GJ huna uhalali wa kumlalamikia Nape kuku-block. Wewe ni kinara wa kupiga block

    Leo kwenye post ya kada wa chama cha Mbowe ndugu Yericko Nyerere nimeona post inayoelezea kada mwenzie Malisa Godlisten akilalamikia kulamba Block toka kwa Mheshimiwa Nape huko Twitter. Mimi sifurahishwi kabisa na mambo ya watu kupigana block mitandaoni kwasababu ni mwanzo wa chuki na upotevu...
  13. GENTAMYCINE

    Nimeambiwa Simba SC wakitumia Low Block na Counter Attack Wydad Casablanca FC anatupeleka Semi Finals CAFCL

    Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals? Karibuni...
  14. Crocodiletooth

    Hollow block maker machines

    Habari wadau wapi naweza pata hii mashine ya kufyatulia tofali zenye matundu katikati, msaada mwenye kufahamu zinakopatikana kwa Tanzania.
  15. Equation x

    Nilivyomtamani rafiki wa mpenzi wangu, na kuambulia 'block'

    Siku moja, nimejichokea zangu mida ya saa nne usiku, nikaamua niende 'club' nikapate 'vibe' la kule ili niweze kuondoa 'stress' za maisha. Muhudumu akaniletea bia zangu tano za kuanzia, nikazinyonya zote zikaisha; akaniongeza tena zingine. Baada ya kufika ya nane, akili ikahama, nikajiuliza kwa...
  16. Dr Count Capone

    Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

    Waungwana shida ziko palepale! Twendeni kwenye mada Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake. Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati...
  17. M

    DOKEZO Waziri Mkuu okoa wananchi wa Dodoma jiji D Center Makole. Wanadhulimiwa haki yao, wapewa fidia eneo ambalo kumbe mali ya MSD medeli AC Block 157

    Kichwa cha habari cha jitosheleza ,wananchi wa makole D center halmashaur ya jiji walihamisha kupisha mradi wa stendi ndogo na kituo cha biashara ndogo ndogo za ujasiliamali. Mwanzo walitakiwa kufidiwa kwa malipo ya hela ila halmashauri wakasema fungu lililotengwa lilichukuliwa tena serikali...
  18. D

    Block emails usizozitaka kirahisi.

    umekuwa ukipata rundo la emails usizozitakaka kwenye gmail yako? hiii huwa inachukiza sana unapopokea emails ambazo hazihusiani na mambo yako kabisa leo nitakufundisha namna rahisi sana ya kuziblock zisikufikie tena. kama ni mtumiaji wa gmail fuata hatua hizi chache.. 1.fungua gmail yako, 2...
  19. Influenza

    Visa, Mastercard zazuia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia mifumo yao

    Kampuni za malipo ya kifedha za Marekani, Visa na Mastercard zimezifungia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi Aidha, Kampuni hizo zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia katika masuala mbalimbali ya...
  20. FUTURE HUNTER

    Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

    Wakuu,Heshima kwenu nyote. Kwanza kabisa nishukuru kwa namna mnatoa madini katika jukwaa hili la ujenzi Kila siku.Hii inatia hamasa kwa mtu anaetamani kujenga. Leo nilienda kutembelea sehemu wanapouza Tofali na Bei zimekaa kama ifuatavyo. 1.Ratio ya Tofali 40 -1200 kwa Tofali. 2.Ratio ya tofali...
Back
Top Bottom