blow to nairobi bourse

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pigo kwa soko la Nairobi baada ya kampuni ya Marekani kutangaza kujiondoa

    Kampuni ya usimamizi wa fedha ya Marekani, BlackRock Inc, inauza uwekezaji wake wa hisa katika masoko yanayoibuka na masoko ya mipakani - ikiwa ni pamoja na Kenya na Nigeria - ikinukuu changamoto za ukwasi katika masoko haya na ugumu wa kurudisha fedha kwa dola. Tangazo hilo linaweza kutoa pigo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…