Basi huyu Mzee Mbowe huenda ana Mungu sana au ni mchawi sana au CHADEMA kwa sasa imezidiwa na machawa na uchawa.
Kwaakili za kawaida hivi inawezekanaje mtu aongoze taasisi kwa miaka zaidi ya ishirini (20 ) na bado watu Wanaendelea kuwa na imani nae hata baada ya kuonesha matokeo hasi?
Hawa...
Makamu mwenyekiti amewahi kuhamia CCM
Katibu mkuu amewahi kuhamia CCM
Wabunge wamehamia CCM
Mwenyekiti wa Bavicha kahamia CCM
Mshauri mkuu wa Chama kahamia CCM
Ni nafasi ya Mwenyekiti tu ndio haijawahi kukimbiwa
Baadae mlale Unono 😀😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.