bob makani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kumbe Mzee Mtei aliiongoza CHADEMA kwa miaka 3 tu, Mzee Bob Makani Miaka 5 tu leo Mzee Mbowe miaka 20 na Uchawa juu

    Basi huyu Mzee Mbowe huenda ana Mungu sana au ni mchawi sana au CHADEMA kwa sasa imezidiwa na machawa na uchawa. Kwaakili za kawaida hivi inawezekanaje mtu aongoze taasisi kwa miaka zaidi ya ishirini (20 ) na bado watu Wanaendelea kuwa na imani nae hata baada ya kuonesha matokeo hasi? Hawa...
  2. J

    CHADEMA ambaye hajawahi kuhama chama ni kiongozi wa nafasi ya Mwenyekiti pekee - Mtei, Bob Makani na Mbowe

    Makamu mwenyekiti amewahi kuhamia CCM Katibu mkuu amewahi kuhamia CCM Wabunge wamehamia CCM Mwenyekiti wa Bavicha kahamia CCM Mshauri mkuu wa Chama kahamia CCM Ni nafasi ya Mwenyekiti tu ndio haijawahi kukimbiwa Baadae mlale Unono 😀😀
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…