Basi huyu Mzee Mbowe huenda ana Mungu sana au ni mchawi sana au CHADEMA kwa sasa imezidiwa na machawa na uchawa.
Kwaakili za kawaida hivi inawezekanaje mtu aongoze taasisi kwa miaka zaidi ya ishirini (20 ) na bado watu Wanaendelea kuwa na imani nae hata baada ya kuonesha matokeo hasi?
Hawa...