bodaboda mbeba mkaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kama una Ndugu au Mpenzi anafanya Biashara ya Magendo ya Mkaa Mlandizi na Kibaha mwambie aache kwani Askari Maliasili wa huko sasa hawatanii

    Dakika 30 zilizopita nimetoka Msibani Kumzika Mmoja wao ambaye Utumbo ulitoka Nje na ukarudishiwa kabla ya Kuzikwa. Kesho tena kama nikipata Nauli na nikijua huko Msibani kuna Wali mzuri wa Nyama na Nazi naweza kwenda Kumzika mwingine huko huko. Na kama kwa sasa ukiwa Unajiuliza ni kwanini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…