bodi ya korosho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Clark boots

    Kuitwa kazini Bodi ya Korosho Tanzania

    Wale waajiriwa wapya wa bodi ya korosho Tanzania.. mkeka wenu huu hapa... Hongereni sana.
  2. beth

    Bungeni Dodoma: Nape ashinikiza Serikali kuunda Bodi ya Korosho, asema Kaimu Mkurugenzi amepewa kazi kubwa kuliko uwezo wake

    Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye ametaka kuundwa kwa Bodi ya Korosho ambayo haijakuwepo kwa miaka mitatu akihoji, nini lengo la Serikali na zao hilo? Akiwa Bungeni amesema, "Zao ambalo linaongoza kuingiza Fedha nyingi za kigeni Nchi hii mwaka wa tatu hakuna Bodi. Mkurugenzi yupo anakaimu...
Back
Top Bottom