In a recent development that has stirred international controversy, U.S. Congressman Scott Perry from Pennsylvania has made startling allegations suggesting that the United States Agency for International Development (USAID) has indirectly funded the terrorist group Boko Haram. This claim...
Zaidi ya wanajeshi 40 wa Chad wameuawa baada ya kituo chao kuvamiwa Jumapili jioni, ikulu ya Chad imesema. Rais Mahamat Déby ameagiza operesheni ya kufuatilia wahusika, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisini kwake.
Shambulio hilo limeripotiwa kutokea katika kisiwa cha Barkaram, eneo kubwa lenye...
Suspected Boko Haram terrorists, on Sunday, attacked Zabarmari farmers while working on their rice fields in Mafa local government area of Borno State, killing over 15.
Awali Casa, a rice farmer, who confirmed the attack on Monday to LEADERSHIP in Maiduguri, said there was palpable fear among...
Hawa ni waafrika ambao wanaamini kwamba wameelekezwa na 'mungu' wao muarabu kuchinja maskini Waafrika wenzao................
Marauding Boko Haram insurgents, Saturday, killed 10 farmers and abducted a few others in Mafa Local Government Area of the state.
Aside from this attack which occurred...
Aona bora kujisalimisha badala ya kufa maana wanapelekewa moto sana wale....mambo ya kufa wakawahi mabikira yamewatoka.
=========
The Boko Haram Commander that instigated an ethnic clash between insurgents leading to the killing of 82 fighters has surrendered to the military.
Security sources...
Walikuta hao vijana wakichanja kuni na kuwaua.....
Suspected Boko Haram insurgents on Thursday killed youths across four contiguous communities in Mafa and Jere Local Government Areas of Borno State.
Four of the youths who were reportedly in the bush fetching firewood, were in Tamsu-Ngamdu...
Boko Haram Fighters Kill 10 Chadian Soldiers Near Nigeria Border
Boko Haram militants killed at least 10 Chadian soldiers in an attack on a military unit in Lake Chad province near the Nigerian border on Tuesday, Chad's government said in a statement.
The unit had been dispatched as a...
Ripoti ya Jeshi la Nigeria iliyotolewa leo Agosti 8, 2022 imeeleza taarifa ya kuuawa kwa kiongozi wa Kundi la Boko Haram, Alhaji Modu ‘Bem Bem’ baada ya kufanyika kwa mashambulizi ya anga.
Mbali na kiongozi huyo pia Wanamgambo 27 wa kundi hilo pia wameuawa katika mashambulizi ya Agosti 3, 2022...
Wote ni Mabingwa na Hodari wa kutopenda Kula Ndizi na Sambusa hiyohiyo kila Siku tu na hupendelea zaidi kubadilisha Menu (Menyu) za Kibaiolojia (Kisayansi).
Jeshi la Nigeria linasema karibu wanamgambo 6000 wa Boko Haram wakiwemo makamanda , wapiganaji na familia zao wamejisalimisha kwa mamlaka katika muda wa wiki chache zilizopita.
Cameroon pia ilikuwa imetangaza kujisalimisha kwa mamia ya ya wanamgambo Boko Haram nchini humo hivi karibuni.
Jeshi...
Mmoja wa makamanda wa juu kabisa wa kikundi cha ugaidi cha Boko Haram aitwae Amir Adamu Rugu Rugu amejisalimisha siku ya Alhamisi jioni kwa majeshi ya Nigeria.
Rugu Rugu alijisalimisha akiwa na wake zake watatu na watoto katika mji wa Gwoza ndani ya jimbo la Bono ambako ndipo vikosi vya jeshi...
Rais Muhammadu Buhari amekiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama Nchini humo, ahadi ambayo alitoa alipochaguliwa mwaka 2015.
Kauli yake imekuja wakati baadhi ya Wananchi wakiandamana kuhusu Usalama Nchini Nigeria. Kundi la Boko Haram limezidisha matukio ya ghasia miezi ya hivi karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.