bomu

The Bo language of West Africa, Bomu (Boomu), also identified as Western Bobo Wule, is a Gur language of Burkina Faso and Mali.
Bomu is spoken by two groups of Bwa people, the Red Bobo, Bobo Wule (also spelled Bobo Oule), and the White Bobo, Bobo Gbe, also known as Kyan (also spelled Kian, Tian, Tyan, Can, Chan) or Tyanse.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Hatari za kiusalama zinaweza kuwa bomu linalokaribia kulipuka barani Afrika kutokana na mgogoro kati ya Russia na Ukraine

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema silaha zilizopelekwa katika mgogoro kati ya Russia na Ukraine zinamiminika kwenye eneo la Sahel barani Afrika kupitia biashara ya magendo, zikichochea nguvu za makundi ya kigaidi na kutishia amani na usalama wa bara hilo. Ametoa wito wa kuharakisha...
  2. RichMitindo akumbatia bomu rasmi!

    Hatimaye Richmitindo amekumbatia Bomu lake na tutarajie lolote ndani ya muda mfupi!
  3. Somalia: Watu 100 wauawa kwenye mlipuko wa mabomu ya kutegwa kwenye magari

    Rais wa Somalia amesema kuwa takriban watu 100 waliuawa katika mashambulio mawili ya mabomu yaliyofanywa kwenye barabara kuu ya Mogadishu na idadi ya vifo huenda ikaongezeka. Katika taarifa yake, Rais Hassan Sheikh Mohamud akiwa katika eneo la milipuko amewaambia waandishi wa habari kwamba watu...
  4. Israeli yapiga bomu kiwanda cha kutegeneza drones cha Iran

    Safi sana, Israeli hajawahi kuchelewa kufanya yake kwa mnyonge wake Iran......takbirrr The operation that assembled Iranian drones was destroyed in the Israeli missile attack on Syrian territory on October 21, the U.K.-based Syrian Observatory for Human Rights (SOHR) reported today. “According...
  5. Mmoja wa wachezaji hawa wa Yanga SC ndiyo atavaa hirizi ya timu leo

    1. Farid Musa 2. Bakari Mwamnyeto 3. Feisal Salum Fei Toto Hivyo nawaomba wachezaji wa Simba SC kama ikiwezekana wafukizwe sana moshi wa .... au wapakae mafuta ya nguruwe. Na kwa wale wa benchi la ufundi (siyo wachezaji) nawaomba muda mwingi wawe wameshika au wameweka ndimu au malimao karibu...
  6. Maafa na majeruhi baada ya bomu kulipuliwa msikitini Afghanistan

    Hawa nao ndio sijawahi kuwaelewa, wote dini moja ila wanampigania 'mungu' mmoja na kuishia kulipuana hata kwenye misikiti, IS dhidi ya Mataleban..... A blast went off on Wednesday at a mosque near Afghanistan's Interior Ministry, the Taliban said. Interior Ministry spokesman Abdul Nafi Takor...
  7. Afghanistan: Bomu la kujitoa mhanga laua watu 23

    Bomu hilo limelipuka baada ya mtu kujitoa mhanga katika kituo cha wanafunzi wa Chuo Kikuu waliokuwa wakijiandaa katika Mji wa Kabul wengi wao waliouawa ni wasichana. Inadaiwa kuwa watu wengine 36 wamejeruhiwa katika kituo hicho binafsi kinachohusisha wanafunzi wa kike na wakiume. Shule nyingi...
  8. Somalia: Mwanajeshi auawa katika bomu la kujitoa mhanga

    Wanajeshi wengine 6 wamejeruhiwa katika tukio hilo baada ya mwanajeshi mmoja kujilipua katika kambi ya jeshi Magharibu mwa mji wa Mogadishu. Kundi Al Shabaab lenye uhusiano na Al Qaeda linadaiwa kuhusika katika shambulizi hilo. Muuguzi wa hospitali ya Madina amesema wamepokea mwili mmoja na...
  9. Mpiganaji wa dini ya kiislamu ajilipua bomu na kuua 15

    Cha ajabu, wote dini moja Somalia...kutwa kulipukiana kwa mabomu kisa wanampigania "mungu" wao. At least 15 people were killed Sunday in an attack by the jihadist group Al Shabaab in Somalia's capital Mogadishu on a Somali Army military training facility, officials said. The balance of the...
  10. Bomu lalipuka karibu na msikiti na kuua wanne huku wengine wakijeruhiwa kule Afghanistan

    Hawa wagomvi kwenye hii dini sijawahi kuelewa nani hupigana na nani maana wote humpigania na kumtetea "mungu" mmoja.... Kuanzaia Somalia hadi Afghanistan, ni mabomu ya kujilipua kisa wanamtetea "mungu" wao ila wahanga ni hao hao wanao amini kwenye "mungu" huyo huyo.... At least four people have...
  11. JWTZ na Polisi wategua Bomu ndani ya chumba cha NMB Bank Shinyanga

    Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Polisi Mkoa, Janeth Magomi, Kilipuzi hicho kilipatikana kwenye chumba maalum kinachotumiwa na wateja wa Fedha Nyingi (Bulk) na mtuhumiwa mkuu amekamatwa Kamanda Magomi amesema mkoba uliokutwa na kilipuzi hicho ulisafirishwa hadi Kambarage Police Barracks...
  12. Benki ya NMB yanusurika kulipuliwa na bomu

    Yapo maswali mengi hapa: Je, Tanzania kuna magaidi?! Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
  13. Afisa wa ngazi ya juu Urusi, ambaye mndani wa Putin auawa kwa bomu Ukraine

    Huyu alikua anasimamia mji wa Berdyansk mpaka sasa haijaeleweka nani kamfanyizia, aidha itakua wanajeshi wa Urusi au makundi yanayounga mkono Ukraine. Kalipukiwa na bomu lililotegeshewa kwenye gari lake....watakufa sana hawa. Russian colonel and one of Vladimir Putin’s ‘closest allies’ was...
  14. Afghanistan: Maafisa wawili wa Urusi wafa kwa shambulio la bomu ubalozini

    Vigumu sana kuelewa haya maugomvi, Urusi amekua akisifiwa na wavaa kobaz tangu alipovamia Ukraine, ila leo naona wanajitoa mhanga kwa kujilipua kwenye ubalozi wake. ISIL claims responsibility The ISIL (ISIS) group claimed responsibility for the attack late on Monday. An ISIL fighter “blew up...
  15. Bomu laripuka kwenye msikiti kule Afghanistan na kuua mkuu wa dini na waumini wengine

    Hawa nao sijawahi kuelewa sababu zao za kulipuana huko Afghanistan wakati wote dini moja.... At least one cleric and several civilians have been reported killed in the city of Herat, despite Taliban claims they have improved security. An explosion rocked the Guzargah mosque in the city of Herat...
  16. Shambulio la bomu msikitini kabul-afghanistan.

    Mpaka sasa watu zaidi ya watu 18 wamekufa baada ya kuuliwa na bomu msikitini katika swala ya leo ijumaa katika mji mkuu wa Afghanistan kabul. Mosque blast in Afghanistan kills prominent scholar, civilians At least 18 people killed, including pro-Taliban imam, in suicide attack on the Guzargah...
  17. Kaka yangu anaelekea kuoa bomu, nimnusuru vipi?

    Huyu mwanamke nimemfahamu mwaka jana mwezi wa pili jijini Dar. Kila siku nilimkuta kwenye bar X yenye jina kubwa tu hapa Dar. Hakuwa mhudumu, bali alipretend kuwa mteja, kiuhalisia alikuwa anauza japo kwa kutumia akili pana sana! Alikaa kwenye moja ya meza mle bar akiwa katika mavazi na mikao ya...
  18. S

    Majasusi wa Urusi (FSB) wambaini M-Ukraine aliyetega bomu Urusi na kumuua binti mwandishi wa habari (Darya Dugina)

    Shirika la kijasusi la Urusi (FSB) limembaini raia wa Ukraine aliyetega bomu kwenye gari Urusi na kumuua binti mwanadishi wa habari aitwaye Darya Dugina. Chombo hicho cha upelelezi cha Urusi kimechapisha video iliyokusanya matukio kadhaa ikimuonesha raia wa Ukraine wa kike kwa jina la Natalya...
  19. W

    Kenya 2022 Tume ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC) inajitengenezea bomu kupitia kile wanadhani ni Uhuru wa Vyombo vya Habari

    Habari wakuu! Najua kwa siku mbili tatu baadhii yetu tumekuwa tukifuatilia kile kinachoendelea katika uchaguzi wa Majirani zetu Kenya. Kwa tathmini fupi utabaini kwamba watu wengi nchini kenya na Tanzania wamepongeza kile ambacho IEBC imefanya kwa kuruhusu vyombo vya habari kujumlisha na...
  20. Unyanyasaji wa Watoto: Bomu ambalo lisipoteguliwa kitaalamu madhara yake hayatapimika

    Ndugu zangu wanajukwaa Hamjambo?Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa Ni matumaini yangu kwamba jamii imekuwa ikishuhudia matukio ya unyanyasaji wa watoto Jambo ambalo limeathiri kwa namna moja au nyingine maendekeo ya watoto Katika ukuaji na hata kitaaluma Kwa kuzingatia changamoto hii...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…