bondia hassan afariki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bondia Hassan alilipwa elfu 60 tu kwenye pambano lililoondoa uhai wake

    Bondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO. Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…