Kwema Wakuu,
Za weekend?
Nipo nachanganua hapa. Mfano nikiwa na labda 20,000,000/- nikazitia UTT Kwa riba ya 12% naweza kupata roughly 2,400,000 faida baada ya mwaka mmoja.
Alternatively hizi 20,000,000/- kama kiwanja ninacho nikijenga hata Chumba, sebule na choo Kwa eneo nililoko sikosi hata...
Naongea sana mambo yasio serious humu jukwaani ila ngoja nifunge mwaka kwa kuongea sense kdg.
Kuna nyuzi humu zinaongelea mambo ya UTT na Bonds, niwaambie ukweli haya mambo ili ikulipe kwa zile monthly returns ni lazima kwanza uweke hela kubwa sana, more than 500m, na incase ukiweka 1 billion...
Fuatia kichwa cha habari hapo juu, nataka kujua kuna uwezekano Mtanzania aiishie hapa TZ anaweza kununua bonds za nchi kama Canada au United States?
Kama kuna mtu mwenye ufahamu, naomba atujuze nasi tuwekeze kwa wenzetu wageni wanavyowekeza katika nyanja mbalimbali hapa kwetu.
1. MEN and FOOTBALL
2. iPhone USERS With MIRROR PHOTO
3. WOMEN and MONEY
4. WEED ADDICTS and UNFINISHED BUILDINGS
5. STUPID RELATIONSHIPS and MATCHING CLOTHES😅😅
Add yours
Serikali imefanya marekebisho kwa sheria ya Benki kuu.
Kuruhusu watu nje ya nchi kununua treasury bonds.
Hii ni hatari kwa uchumi wetu.
We are officially sold out.
Siku hizi kila mtu anakimbilia Treasury bonds. Hii kitu mie Napata wasiwasi sana. Unaikopesha serikali kutumia hela kwa miradi ya maendeleo ambayo sio ya kuingiza Faida, Mfano watu wakahitaji hela zao kwa Pamoja je wataweza kuzirudisha au ndio kama Mifuko ya hifadhi ya Jamii.
Naomba kwa anaelewa anifafanulie kiundani ni jinsi gani Treasury bills and bonds zinavyofanya kazi. Pia kati ya hizo mbili ukilinganisha na Fixed Deposit Account. Assuming ni 100,000,000 nataka kuizungusha kupitia hizo njia.
UTAJIRI MKUBWA ULIOPO KWENYE UWEKEZAJI WA DHAMANA ZA SERIKALI
Uwekezaji kwenye dhamana za serikali umegawanyika makundi mawili.
i) Dhamana za muda mfupi (treasury bills)
ii) Dhamana za muda mrefu (treasury bonds)
Kwa nchi yetu ya Tanzania biashara ya dhamana za serikali inasimamiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.