Bongo star search imefikia hatua ya mwisho yaani final ya season ya mwaka Huu na tumeshuudia wasanii watano wakali wamebahatika kuingia kwenye final ambao ni meshack, Frank, leonard, Patricia na Patrick na Kati yao mmoja ndo ataibuka mshindi.
Maoni yangu: mshindi namuona anaweza akawa Frank au...