bongoflava

Bongo Flava is a nickname for Tanzanian music. The genre developed in the 1990s, mainly as a derivative of American hip hop and traditional Tanzanian styles such as taarab and dansi, with additional influences from reggae, R&B, and afrobeats, to form a unique style of music. Lyrics are usually in Swahili or English, although increasingly from mid 2000s there has been limited use of words from Sub-Saharan African music traditions due to the influence of Afrobeats and Kwaito with their dynamics usage of West African Pidgin English, Nigerian Pidgin or other Creole language.

View More On Wikipedia.org
  1. Je, kunaweza kuwa na Mfalme wa BongoFlava?

    Hili jambo nimekuwa nikijiuliza muda mrefu. Ila kabla ya kwenda mbele, tupate maana ya 'Mfalme wa Muziki' fulani. Tuanze na mifano hii, ili kuweka mambo kwenye muktadha. James Brown ni Mfalme wa Muziki wa Soul, Michael Jackson ndiye Mfalme wa Pop, Robert Marley ndiye mfalme wa Muziki wa Reggae...
  2. Wimbo wa bongo flavor ambao ni bora kwako kwa muda wote

    Funguka wimbo wa bongo flavor ambao ni wimbo pendwa kwako kwa miaka yote na huchoki kuusikiliza ili wengine wapate ladha ya mziki mzuri kutoka nyumbani..
  3. K

    TANZIA Producer Geof Master aliyefanya kazi Tongwe Records afariki dunia

    Habari wanaburudani, nimepokea taarifa za kusikitisha za msiba wa Producer Geof Master muda huu. Naambiwa alikua kalazwa Ocean road. Mara ya mwisho kuonana nae mitaa ya Tegeta alikuwa na uvimbe puani na alikuwa kwenye harakati za kufanyiwa upasuaji. Naambiwa leo asubuhi amefariki. Mama yake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…