boni yai akamatwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Sababu za Boniface Jackob kunyimwa Dhamana zinazidisha hoja ya Wanaoidharau Mahakakama ya Tanzania, Inatumika kijinga sana!

    Tukirudi nyuma, ni kwamba baada ya kukamatwa kama Jambazi pale hadharani Sinza na kufikishwa mahakamani, Bonny alinyimwa dhamana kwa sababu za kichovu, ikiwemo ile ya eti Usalama wake uko hatarini Mahakama ikijua kwamba Bonny Yai juzi tu alirejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Chadema kwa...
  2. Erythrocyte

    Baada ya Upekuzi nyumbani kwa Boniface Jackob Polisi waondoka mikono mitupu hakuna hatari yoyote

    Kumbe Bonny ni mtu poa tu, hana chochote cha hatari alichonacho nyumbani kwake zaidi ya king'amuzi cha DSTV na simu ya Tochi ya Tecno pamoja na jiko la gesi moja
  3. Heparin

    Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

    Jeshi la Polisi limemkamata na linamshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo. Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa. Imetolewa na: David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi...
Back
Top Bottom