Watu wasiojulikana wakiwa kwenye pikipiki walifika katika ofisi za mwanaharakati Boniface Mwangi Jumamosi alasiri, wakisababisha vurugu na kuvuruga shughuli za kawaida katika eneo hilo.
Mwangi, ambaye alijibu tukio hilo baadaye, alifichua kwamba aliripoti suala hilo katika Kituo cha Polisi cha...