Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kikazi kutembelea barabara ya Kimara - Bonyokwa - Kinyerezi yenye urefu wa kilometa 7, mkoani Dar es Salaam, na kusisitiza umuhimu wa kuharakisha ujenzi wa barabara hiyo ya kimkakati.
Katika ziara hiyo, Waziri Ulega ameagiza...
Mi’ huwa nikisikiaga watu wanatwangana huko ulaya, Asia na kwingineko huwa nafurahi tu, acha watwangane tu na hata wamalizane, kwangu haina shida.
Kwa nini?
Wao wanatusababishia vita huku, wanachukua madini na vinginevyo na kusepa, so how come leo nikisikia watu wanatwangana nihuzunike? Je...
Wakati wanatangaza kuhusu ujenzi wa hii barabara niliwambia watu kitu. Anyway na ndicho kinachoendeleaaaa
Ile barabara walivunja frame za watu zaidi ya 100 na nyumba za watu kadhaa wakishauriwa wengine kuvunja wenyewe.
Katika kuwaweka sawa wananchi mkandarasi akaja na magari ya kukwangua...
Kuna mtu anaitwa Pius hapa Canada Bonyokwa amekuwa akiwafanyia vitendo vya kikatili watu tofauti tofauti
Hwa anawakamata bodaboda na kuwachukulia pesa kwa nguvu. Anachojivunia yeye kuwa ni mgambo pale Staki Shari hata ukienda kushtaki kesi yake inakuwa yako
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie...
Anonymous
Thread
bonyokwa
ukatili
ukatili bonyokwa
vitendo vya kikatili
vitendo vya kikatili bonyokwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.