Miili 20 imeopolewa kutoka Ziwa Kivu Mashariki baada ya boti iliyokuwa safari kutoka Minova kupinduka umbali wa Mita 100 kutoka eneo ilipokuwa inaelekea (Fukwe ya Goma)
Video inayosambaa Mtandaoni inaonyesha boti hiyo ikiinamia upande mmoja na kisha kuzama
Idadi kamili ya Watu waliokuwepo...