Tónlist TV (previously Bravó) was an Icelandic music channel targeting a demographic of 14–24 years of age. The channel is operated by Sýn and was launched on March 5, 2014 as Bravó TV In 2016, the station was rebranded as Tónlist TV.The channel was replaced in 2016 with a non-stop music video online channel called Tónlist.
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa Washabiki wa CS Sfaxien wa hapa nchini ambao hawajui sheria za mpira kwamba ni lazima mpira uchezwe dk zote 90.Na pia hajui kuwa dk zinazoongezwa huwa ni kwa timu zote mbili.Simba pia wamewahi kufungwa goli na Wydad dk ya 95 wakati dk zilizoongezwa zilikuwa...
Ushindi wa soka raha, hawa ni mashabiki wa Timu ya Simba, wakisheherekea ushindi wa timu yao dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, jana jioni (Novemba 27, 2024).
Sherehe hizo zimefanyika katika Mitaa ya Machomanne, Wilaya ya Chake Chake, Pemba.
Katika mchezo huo, goli pekee la Jean Charles...
Kama kuna wakati wa kuwaogopa hawa wachambuzi ni wakati kama huu.
Kila mchambuzi ukimsikia anasema hii timu ndiyo kibonde na kwa hiyo Simba inatakiwa kujipigia goli nyingi.
Kuna mashabiki wengine wa Simba wapumbavu wameshaanza kusema eti tutawafunga goli saba!
Wanasahau kwamba hii ni soka na...
Habari,
Poleni na majukumu Nina pikipiki yangu aina ya TVS 125 hivi ni mchongo gani wa pesa naweza kuufanya kupitia pikipiki hii ukiachana na Bodaboda
Wataalam nipeni michongo mdogo wenu
Si dhambi kumsifia mtu na kumpa pongezi na hongera kwa kazi nzuri. Website ya TANZLII ya sasa ni user friendly kuliko ya zamani.
It is easy to search for whatever information you want that is provided by the website
Hapa CJ nakupa tono, ila kwingine bado.
Kampuni ya Usafirishaji Makontena, ya Bravo Group Limited Yathibitisha Hakuna Kazi za Kike na Kiume. Madereva Wanawake wa Malori Wapongezwa na Wanawake Wahimizwa Wasichague Kazi
Umetolewa mwito kwa wanawake kote nchini, wasichague kazi, na badala yake wachangamkie kazi zozote wenye uwezo nazo...
Kwa umri wako na kiwango chako uko kwenye peak ya mafanikio, master mind wako amepanga hesabu zikapangika na wakajaa kwenye hesabu zenu, sasa wewe ndie mchezaji uatakayekuwa unalipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wa ndani, na utakuwa ni mchezaji wa tatu kulipwa mshahara mkubwa kwa soka...
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, ametoa pole ya shilingi laki moja kwa kila mwananchi aliyekatwa mapanga na vijana wanaodaiwa kuwa ni Panya road katika mtaa wa Mtongani Kunduchi usiku wa kuamkia Mei 2, 2022. Jumla ya wananchi 19 walijeruhiwa kwa mapanga.
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.
Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo...
Foreign Secretary Dominic Raab to determine fate of £1.4bn of gold deposited in the Bank of England (msn.com)
In a case that is set to determine the fate of almost £1.4bn of Venezuelan gold deposited in the Bank of England, UK’s Foreign Secretary Dominic Raab has been granted permission to...
Ka kuna mtu humsikia akitajwa Mara nyingi zaidi ya lundo, Nn huyo bingwa hapo.
Ila ndo sijawahi pata mjuzi aliejuzwa barabara taarifa zake Ila nae aniambukizie kiaina.
Kwa yeyote mzalendo anaependa tuwafahamu mashujaa wetu na kwa faida ya madogo janja wengine.
Shoot it....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.