Futebol Clube Bravos do Maquis, formerly Futebol Clube Onze Bravos and usually known simply as Bravos do Maquis, is an Angolan football club based in Luena, in the eastern province of Moxico.
FC Bravos in Build-up na 2-4-1-3 yao wamecheza vizuri sana dakika 45 za kwanza kwa kuzuia hatari za mpinzani wao hasa ndani ya 18 na kucheza muda mwingi kwenye Nusu yao! Kuanzia 1 Vs 1, Accurate Passes, Sharpness + Sond Balls nyingi ndani ya eneo lao walishinda hasa katikati kwa Kagoma na Ngoma...
Kumekuwa na vijimaneno vingi Tu toka Kwa "Walimu wa makocha" au sijui niwaite "wakosoaji wa makocha" hawana zuri hata kidogo wanachokiona Kwa makocha.
Wamekuwa wakimkosoa Sana Fadlu kuwa mara Hana Kikosi cha Kwanza, mara oho! Sijui sub zake hazieleweki lakini yeye anashinda Tu.
Na Leo...
Heri ya Siku ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Ni jumapili tulivu, Mnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports atashuka dimbani dhidi ya wenyeji wake Bravos ya Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Katika mchezo wa kwanza, Simba akiwa nyumbani aliibuka na ushindi wa 1-0, je ataendeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.