Kundi hilo linaloundwa na Watoto wenye vipaji vya kucheza na kuimba kutoka #Uganda limefanikiwa kuingia Fainali za mashindano ya vipaji ya #BritainsGotTalent ambayo kilele chake ni Juni 4, 2023.
Waliofanikiwa kuingia Fainali ni #MusaMotha, Amy Lou, #ViggoVenn, Olivia Lynes, #GhettoKids, Travis...