broilers

  1. mjaja4

    Nataka nifanye biashara ya kuuza vifaranga, nitapata wapi mayai ya viranga?

    Jamani mimi ni mfugaji nataka nifanye biashara ya kuuza vifaranga, lakini nakwama jinsi gani ntapata wapi mayai ya kutotoleshea viranga vya broilers na layers? Kwa yoyote mwenye ufaham basi naomba muongoza wapi ntayapata hayo mayai na treyi inakua kiasi gani? Ahsante, naomba kuwasilisha wakuu!
  2. C

    Kampuni Bora ya kuku,Kati ya silverland,interchick na tanchick

    Habari? Je Kati ya kampuni hizo naomba msaada ipi ni kampuni yenye vifaranga Bora vya kuku wanyama na mayai. Nataraji kuingia kwenye iyo biashara hivi karibuni. Asante
Back
Top Bottom