Nimeona Senegal wanazindua mradi wa Barabara za BRT ambazo zinatumia Umeme.
Yaani kama hiyo BRT ya Dar ila iwe ni mfumo wa kuchaji/Umeme badala ya diesel.
Kwangu binafsi naona hii ni miradi ya kipigaji na isiyosaidia watu maskini kuongeza kipato Chao badala yake ni upigaji wa wakubwa.
Miradi...