brt ya umeme

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Je, ni kweli Africa inahitaji Miradi kama hii ya BRT ya Umeme kama huu wa Senegal?

    Nimeona Senegal wanazindua mradi wa Barabara za BRT ambazo zinatumia Umeme. Yaani kama hiyo BRT ya Dar ila iwe ni mfumo wa kuchaji/Umeme badala ya diesel. Kwangu binafsi naona hii ni miradi ya kipigaji na isiyosaidia watu maskini kuongeza kipato Chao badala yake ni upigaji wa wakubwa. Miradi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…