Bryansk (Russian: Брянск, IPA: [brʲansk]) is a city and the administrative center of Bryansk Oblast, Russia, situated on the River Desna, 379 kilometers (235 mi) southwest of Moscow. Population: 379,152 (2021 Census); 415,721 (2010 Census); 431,526 (2002 Census); 452,160 (1989 Census).
Mambo mengi muda mchache, mbele kwa mbele, ulimwaga unga wenzako wanamwaga mboga, Mrusi vita vimemkuta ndani, hawa ni Warusi walioamua kumuondolea Putin uzembe maana amesababisha maafa ya Warusi kwenye vita kule Ukraine, vita ambavyo havina tija kwa Urusi.
Warusi wameuawa kwa maelfu pale...
Watu wawili wameuawa ikiwa ni matokeo ya mashambulizi kutoka Ukraine yaliyokilenga kijiji kimoja ndani ya mkoa wa Bryansk ndani ya Urusi. Hayo yamesemwa na Gavana wa mkoa huo kama alivyonukuliwa na chombo cha habari cha Urusi TASS.
Mashambulizi hayo yalikipiga kijiji cha SUZEMKA kilichopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.