Naomba kupata ABCs za biashara ya bucha. Kuanzia vifaa vinavyohitajika gharama zake, vibali na upatikanaji wake.
Ikipendeza zaidi, basi na bei ya nyama machinjioni na makadirio ya faida kwa kilo. Na taarifa zote muhimu zinazohitajika.
Natanguliza shukrani.
=====
Mchango wa mdau