budget

A budget is a financial plan for a defined period, often one year. It may also include planned sales volumes and revenues, resource quantities, costs and expenses, assets, liabilities and cash flows. Companies, governments, families, and other organizations use it to express strategic plans of activities or events in measurable terms.A budget is the sum of finances allocated for a particular purpose and the summary of intended expenditures along with proposals for how to meet them. It may include a budget surplus, providing money for use at a future time, or a deficit in which expenses exceed income.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Car4Sale Anayeuza gari Aina ya alteza 4 cylinder Nina budget yangu ya 3.5 m

    Anaeuza gari Aina ya alteza 4 cylinder Nina budget yangu ya 3.5m
  2. Pascal Mayalla

    Live from Stanbic Biashara Incubator,Acacia Building: Policy Forum Breakfast Debate: Illicit Financial Flows (A Burden to Tanzania National Budget

    Wanabodi, Niko hapa jengo la Acacia, kwenye Stanbic Biashara Incubator, kuhudhuria debate ya Policy Forum kwenye Breakfast kujadili kuhusu kitu kinachoitwa Illicit Financial Flows (A Burden to Tanzania National Budget. Hapa tunajadili jinsi Tanzania tunavyoibiwa mi fwedha ya kutosha kupitia...
  3. sonofobia

    Natafuta perfume konki budget 50K

    Wale watu wa perfume uwa tuna code zetu tunapasiana. Mimi nimekwama kidogo so natafuta perfect ya isizidi 50K ya kiume inayonukia kishefa. Ukinitajia jina na location ya kuipata nitafurahi. Isiwe ya kupima wala rasasi au smart collection. Karibuni
  4. Mi mi

    Budget ya Singapore ya mwaka 2025/2026 ni kubwa mno kuliko Budget ya Tanzania

    Budget ya Singapore ya mwaka 2025/2026 ni $143.1 billion wakati ya Tanzania ya mwaka 2024/2025 ni $19 billion Sisi ni wehu ama nini, Singapore ni ndogo sana tena sana jaribu kufikiri kwamba Dar es Salaam ni kubwa kuliko nchi nzima ya Singapore. Kama sio wehu sisi wakina nani sasa ?
  5. ankol

    Gari ipi ni low budget lakini ukiwa nayo unaonekana unazo?

    Habari wanajamvi. Nimeishi sana kwenye ka baby walker kwa muda sasa. Natarajia mwakani niachane nako nipande hadhi japo kidogo. Nakuja kwenu wana jamvi, wataalam wa masuala haya. Nahitaji kujua gari ambayo running cost yake ni sawa na ka baby walker lakini kimwonekano inaonekana ni gari ya...
  6. Jentelomeni

    Nichukue monitor ipi hapo? Budget iko tight kinoma

    Habari ya wakati huu wakuu kuna jambo linanitatiza hapa hii Hp 24 inch nataka kuuziwa 130k na hii lenovo 22 inch nauziwa 180k mimi na ubahili wangu nataka kupita na hii Hp ya 130k ila nahofu why inch 24 inauzwa bei kitonga alafu inch 22 inauzwa bei juu je tofauti ni hiyo frameless au kuna...
  7. Brojust

    Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

    Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu. Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa. Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani Kuna hazina za wasomi hapo...
  8. Eli Cohen

    Hivi ile movie ya kibongo iliyokuwa inapigwa promo Azam kwamba ina budget ya mamia ya mamilioni, iliishia wapi? Box office yake ilikaa vizuri?

    Wakuu hivi ile filamu ya kitanzania iliyojulikana kama Eonii ambayo ilipigiwa sana Promo na watu kuifananisha na movie za hollywood imeishia wapi? Soma pia: EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile
  9. M

    Mitsubishi outlander budget 28m ya seat 7

    Nataka kununua Mitsubishi outlander wadau naulizia fuel consuption yake lita1 inakwenda km Ngapi ..navip outlander kuanzia ya mwaka upi nichuke na yenye specification zipi ndio Bora zaid
  10. M

    Mazda CX5 ya mwaka2014 kushuka chini ndo budget yangu

    Wakuu mfuko wangu unaniruhusu kununua Mazda CX5 yakuanzia mwaka 2014 kushuka chini...msaada wenu nichukue ya specification zipi kuanzia engine,rangi nakila kitu
  11. ward41

    Defense budget ya Marekani ni kubwa sana

    Marekani wamejizatiti Sana na waki serious. Unachanganya nchi tano kubwa, bado jamaa wako juu.
  12. R

    TANZANIANS ANTICIPATE 2024/2025 BUDGET SPEECH

    “Key Focus on Transparency, Governance, and Accountability” As Tanzanians await the presentation of the 2024/2025 financial year budget by the Minister of Finance, the nation stands at a critical juncture. Our President's vision of economic development is shaped by her political mission...
  13. Apollo one spaceship

    Nataka kununua Toyota Rav 4

    Anayeuza hiyo gari contact karibu, nipo Serious. Budget ni milioni 7.
  14. Stephano Mgendanyi

    MP Twaha Mpembenwe: APPRECIATION NOTE to Madame Speaker to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committe

    Hon. Twaha Mpembenwe (MP from Kibiti): APPRECIATION NOTE to Madame Speaker, Dr. Tulia Akson to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committee 22nd April 2024. APPRECIATION NOTE Dear; Madame Speaker I would like to express my gratitude first to Allah...
  15. MfanyakaziHewa

    Bajaj used inahitajika. Budget ni million 4.5 hadi 5

    Bajaj used inahitajika. Budget ni million 4.5 hadi 5 Niko Sumbawanga Rukwa
  16. D

    Natafuta laptop nina budget ya 200k

    Natafuta laptop used core 5 na nina budget ya 200k 255713520180 nipo dar ambayo anayo tuwasiliane
  17. P

    Naombeni mbinu jinsi ya kuwa bahili, kubana bajeti

    Jamani, Naombeni mbinu za kuwa mchumi, nisitumie pesa hivyo, hali hii inanitesa sana. Natafuta pesa kwa taabu mnoo. Yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo. Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M. Juzi Jana na leo...
  18. AY 5225

    Budget ni 650,000/= ninahitaji iPhone yoyote yenye macho matatu

    Heshima yenu wakuu. Nina shida na second hand iPhone asap na budget yangu ni 650k so probably naweza kupata japo 11 pro max, and if I am fortunate enough basi brother au sister mmoja anaweza kunitunuku hata ka 12 kwa bei hiyo hiyo kama offer. Be it as it may, nipo Unguja rn ila nitakuwa Dar...
  19. Newcastle1234

    Natafuta kiwanja Mbweni, budget Mil.70

    Natafuta kiwanja Mbweni. Bajeti yangu Mil.70. Ukubwa at least 900sqm SITAKI MADALALI. Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364. Just Whatsapp. NO CALLS
Back
Top Bottom