bujumbura

Bujumbura (French pronunciation: [buʒumbuʁa]), formerly Usumbura, is the largest city and main port of Burundi. It ships most of the country's chief export, coffee, as well as cotton and tin ore. In late December 2018, Burundian president Pierre Nkurunziza announced that he would follow through on a 2007 promise to return Gitega its former political capital status, with Bujumbura remaining as economical capital and center of commerce. A vote in the Parliament of Burundi made the change official on 16 January 2019, with all branches of government expected to move to Gitega within three years.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Mhe. Dkt. Shogo Mlozi Ashiriki Semina ya EALA Women Caucus Bujumbura

    Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Member of Parliament - EALA ) Mhe. Dkt. Shogo Mlozi Sedoyeka, PhD anashiriki semina ya EALA Women Caucus juu ya Kuendeleza Utawala unaozingatia Jinsia 31.3.2023 nchini Burundi, Bujumbura. Semina ni kwa ajili ya kujenga uwezo kwa wabunge wanawake ili kutetea...
  2. N

    Kisa Manara, maandamano makubwa ya wana Yanga Bujumbura

    Mkiambiwa manara ni duuude kuuubwa mnabisha, huyo karia akae kwa kutulia yaani kagusa waya wa moto na kama ikifika jumatatu hajamuomba radhi manara ajue hadi week ijayo atatolewa kwenye hiko cheo Jijini Bujumbura wana yanga kindakindaki wameandaa maandamano ya amani kuelekea ubalozi wa Tanzania...
  3. N

    Manara atikisa Bujumbura, wamepagawa

    Mkurugenzi wa idara ya habari ya mabingwa watarajiwa wa Afrika dar young africans anayetarajiwa kuchukua cheo hicho mwezi wa 7 ametikisa Bujumbura ikatikisika vilivyo Bwana Manara ambaye ni msomi mwenye degree ya media toka south africa na ya politics from China awali ilikuwa agombee U RAIS ila...
  4. Analogia Malenga

    Milipuko ya gurunedi yakumba Bujumbura

    Idadi ya watu wasiojulikana huenda wamejeruhiwa katika shambulio la gurunedi usiku wa Jumatatu katika mji mkuu wa kibiashara wa Bujumbura nchini Burundi. Walioshuhudia tukio hilo wanasema milipuko miwili mikubwa ilisikika baada ya gurunedi mbili kulipuka katika kituo cha mabasi kilicho na...
  5. B

    Nani aliwahi kununua mitumba Bujumbura?

    Bismillah. Naomba kujua kwa mtu yeyote aliyeishi au kununua mtumba mji wa bunjumbura. Kat ya Dar na Bujumbura wapi mtumba wao n mkali na bei yao inatofaut sana na huku? Help me niga mi nko kigoma nataka nkapoint vikal buju. Naomba mwenye maujanja ananinasue Asanteni kwa kuja JF
Back
Top Bottom